Na ni vya Allah Pekee vilivyomo mbinguni na vilivyomo ardhini, ili Awalipe wale waliofanya uovu kwa yale waliyoyatenda, na Awalipe wale waliofanya mema kwa mema zaidi
Wale wanaojiepusha na madhambi makubwa na machafu isipokuwa makosa madogo-madogo. Hakika Bwana wako ni Mwingi wa msamaha. Yeye Anakujueni vyema, tangu Alipokuanzisheni kutoka katika ardhi, na pale mlipokuwa mimba changa matumboni mwa mama zenu. Basi msizitakase nafsi zenu. Yeye Anamjua zaidi aliyekuwa na taqwa
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 33
أَفَرَءَيۡتَ ٱلَّذِي تَوَلَّىٰ
Hivi umemuona yule ambaye amekengeuka
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 34
وَأَعۡطَىٰ قَلِيلٗا وَأَكۡدَىٰٓ
Na Akatoa kidogo, kisha akazuia.?
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 35
أَعِندَهُۥ عِلۡمُ ٱلۡغَيۡبِ فَهُوَ يَرَىٰٓ
hivi yeye ana elimu ya ghaibu basi kwa elimu hiyo yeye anaona?
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 36
أَمۡ لَمۡ يُنَبَّأۡ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ
Au hawajaambiwa kwa ambayo yamo kwenye kitabu cha Mussa?
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 37
وَإِبۡرَٰهِيمَ ٱلَّذِي وَفَّىٰٓ
Na Ibraahim aliyetimiza (ahadi)
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 38
أَلَّا تَزِرُ وَازِرَةٞ وِزۡرَ أُخۡرَىٰ
Na kwamba mbebaji dhambi hatobeba mzigo wa mwengine
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 39
وَأَن لَّيۡسَ لِلۡإِنسَٰنِ إِلَّا مَا سَعَىٰ
Na kwamba Mtu hatopata malipo isipokuwa yale aliyoyafanyia juhudi
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 40
وَأَنَّ سَعۡيَهُۥ سَوۡفَ يُرَىٰ
Na kwamba juhudi yake itakuja kuonekana
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 41
ثُمَّ يُجۡزَىٰهُ ٱلۡجَزَآءَ ٱلۡأَوۡفَىٰ
Kisha atalipwa malipo yake kamilifu
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 42
وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلۡمُنتَهَىٰ
Na hakika kwa bwana wako ndio marejeo
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 43
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَضۡحَكَ وَأَبۡكَىٰ
Na kwamba Yeye Ndiye Anayesababisha kwa Mtu kicheko (furaha) na kilio
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 44
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَمَاتَ وَأَحۡيَا
Na hakika yeye ndiye anafisha na ndiye anayehuisha
Na hakika yeye ameumba aina mbili ya viumbe Dume Na Jike
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 46
مِن نُّطۡفَةٍ إِذَا تُمۡنَىٰ
Kutokana na tone la manii linapomiminwa
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 47
وَأَنَّ عَلَيۡهِ ٱلنَّشۡأَةَ ٱلۡأُخۡرَىٰ
Na kwamba ni juu Yake uanzishaji mwengine (kufufua)
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 48
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَغۡنَىٰ وَأَقۡنَىٰ
Na kwamba Yeye Ndiye Atoshelezaye na Akinaishaye
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 49
وَأَنَّهُۥ هُوَ رَبُّ ٱلشِّعۡرَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye Mola wa nyota ya Ash-Shi’-raa (inayoabudiwa).[1]
1- - Ash-Shi’-raa:- Hii ni Nyota maarufu, na Allah ameihusisha kuitaja hapa, ijapokuwa yeye ni Mola wa kila kitu kwasababu hii Nyota ni katika zilizokuwa zikiabudiwa katika zama za Kijaahiliyya, kwahiyo Allah akabainisha kila chochote wanacho kiabudu Washirikina basi hicho kimeumbwa na Allah, na hakistahiki kuabudiwa.
Fehlermeldung
Kopieren
Fertig
Fehler
Teilnahme :
Sure:
ANNAJMI
Vers : 50
وَأَنَّهُۥٓ أَهۡلَكَ عَادًا ٱلۡأُولَىٰ
Na kwamba Yeye Ndiye Aliyeangamiza kina ‘Aad Mwanzo