وَإِذَا ٱلۡجِبَالُ نُسِفَتۡ
Na milima itakapo peperushwa
Teilnahme :
وَإِذَا ٱلرُّسُلُ أُقِّتَتۡ
Na Mitume watakapo wekewa wakati wao
لِأَيِّ يَوۡمٍ أُجِّلَتۡ
Kwa siku gani hiyo wamewekewa muda huo
لِيَوۡمِ ٱلۡفَصۡلِ
Kwa ajili ya Siku ya hukumu na kutenganisha
وَمَآ أَدۡرَىٰكَ مَا يَوۡمُ ٱلۡفَصۡلِ
Na nini kitakachokujulisha Siku ya hukumu na kutenganisha?
وَيۡلٞ يَوۡمَئِذٖ لِّلۡمُكَذِّبِينَ
Ole wao, siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمۡ نُهۡلِكِ ٱلۡأَوَّلِينَ
Je, kwani Hatukuangamiza watu walio tangulia?
ثُمَّ نُتۡبِعُهُمُ ٱلۡأٓخِرِينَ
Kisha Tukawafuatilishia watu wengineo?
كَذَٰلِكَ نَفۡعَلُ بِٱلۡمُجۡرِمِينَ
Hivyo ndivyo Tunavyo wafanya wakosefu!
أَلَمۡ نَخۡلُقكُّم مِّن مَّآءٖ مَّهِينٖ
Kwani hatukukuumbeni kwa maji dhalili (manii)?
فَجَعَلۡنَٰهُ فِي قَرَارٖ مَّكِينٍ
Kisha Tukayaweka katika mahali pa kutulia, madhubuti?
إِلَىٰ قَدَرٖ مَّعۡلُومٖ
Mpaka muda maalumu?
فَقَدَرۡنَا فَنِعۡمَ ٱلۡقَٰدِرُونَ
Tukakadiria na Sisi ni wazuri walioje wa kukadiria
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
أَلَمۡ نَجۡعَلِ ٱلۡأَرۡضَ كِفَاتًا
Je, kwani Hatukufanya ardhi kuwa ni chombo cha kukusanya?
أَحۡيَآءٗ وَأَمۡوَٰتٗا
Walio hai na maiti (na waliokufa)?
وَجَعَلۡنَا فِيهَا رَوَٰسِيَ شَٰمِخَٰتٖ وَأَسۡقَيۡنَٰكُم مَّآءٗ فُرَاتٗا
Na ndani yake tukaweka milima mirefu yenye kuthibiti, na tuna-kunywesheni maji matamu?
ٱنطَلِقُوٓاْ إِلَىٰ مَا كُنتُم بِهِۦ تُكَذِّبُونَ
(wataambiwa:) Nendeni kwenye adhabu mliyokuwa mkiikanusha!
ٱنطَلِقُوٓاْ إِلَىٰ ظِلّٖ ذِي ثَلَٰثِ شُعَبٖ
Nendeni kwenye kivuli chenye sehemu tatu!
لَّا ظَلِيلٖ وَلَا يُغۡنِي مِنَ ٱللَّهَبِ
Hakiwafuniki, na wala hakiwa-kingi na muwako wa moto
إِنَّهَا تَرۡمِي بِشَرَرٖ كَٱلۡقَصۡرِ
Hakika Moto huo hurusha macheche Kama majumba!
كَأَنَّهُۥ جِمَٰلَتٞ صُفۡرٞ
Kana kwamba ni ngamia waku-bwa wa rangi ya manjano!
هَٰذَا يَوۡمُ لَا يَنطِقُونَ
Hii ni siku ambayo hawatatamka kitu,
وَلَا يُؤۡذَنُ لَهُمۡ فَيَعۡتَذِرُونَ
Wala hawataruhusiwa kutoa udhuru
هَٰذَا يَوۡمُ ٱلۡفَصۡلِۖ جَمَعۡنَٰكُمۡ وَٱلۡأَوَّلِينَ
Hii ndiyo siku ya kupambanua. Tumekukusanyeni nyinyi na walio tangulia
فَإِن كَانَ لَكُمۡ كَيۡدٞ فَكِيدُونِ
Ikiwa mnayo hila yoyote ile basi Nifanyieni mimi