Capítulo: QAAF 

Verso : 31

وَأُزۡلِفَتِ ٱلۡجَنَّةُ لِلۡمُتَّقِينَ غَيۡرَ بَعِيدٍ

Na Pepo italetwa karibu kwa kwaajili ya Wacha Mungu, haitakuwa mbali



Capítulo: QAAF 

Verso : 32

هَٰذَا مَا تُوعَدُونَ لِكُلِّ أَوَّابٍ حَفِيظٖ

(Itasemwa): Haya ndiyo yale mliyoahidiwa kwa kila mwenye kurejea kwa Allah, kwa kutubia, mwenye kuhifadhi vyema (amri za Allah)



Capítulo: QAAF 

Verso : 33

مَّنۡ خَشِيَ ٱلرَّحۡمَٰنَ بِٱلۡغَيۡبِ وَجَآءَ بِقَلۡبٖ مُّنِيبٍ

Anayemuogopa Allah (Mwingi wa Rehema) hali yakuwa hamuoni akaja na moyo ulioelekea kwake



Capítulo: QAAF 

Verso : 34

ٱدۡخُلُوهَا بِسَلَٰمٖۖ ذَٰلِكَ يَوۡمُ ٱلۡخُلُودِ

Ingieni kwa amani hiyo ndiyo siku ya kukaa milele



Capítulo: QAAF 

Verso : 35

لَهُم مَّا يَشَآءُونَ فِيهَا وَلَدَيۡنَا مَزِيدٞ

Humo watakuwa na kila wanachokitaka na kwetu sisi kuna ziada. (ya kumuona Allah)



Capítulo: QAAF 

Verso : 36

وَكَمۡ أَهۡلَكۡنَا قَبۡلَهُم مِّن قَرۡنٍ هُمۡ أَشَدُّ مِنۡهُم بَطۡشٗا فَنَقَّبُواْ فِي ٱلۡبِلَٰدِ هَلۡ مِن مَّحِيصٍ

Na Watu wa karne ngapi Tumewaaangamiza kabla yao ambao walikuwa wenye nguvu zaidi kuliko wao. Basi walitangatanga sana katika nchi nyingi. Je, kuna mahali popote pa kukimbilia?



Capítulo: QAAF 

Verso : 37

إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَذِكۡرَىٰ لِمَن كَانَ لَهُۥ قَلۡبٌ أَوۡ أَلۡقَى ٱلسَّمۡعَ وَهُوَ شَهِيدٞ

Hakika katika hayo kuna ukumbusho kwa mtu mwenye moyo au ametega sikio nae yupo anashuhudia



Capítulo: QAAF 

Verso : 38

وَلَقَدۡ خَلَقۡنَا ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضَ وَمَا بَيۡنَهُمَا فِي سِتَّةِ أَيَّامٖ وَمَا مَسَّنَا مِن لُّغُوبٖ

Na kwa yakini Tumeumba mbingu na ardhi na vilivyo baina yake katika siku sita, na wala Hauku-tugusa uchovu wowote



Capítulo: QAAF 

Verso : 39

فَٱصۡبِرۡ عَلَىٰ مَا يَقُولُونَ وَسَبِّحۡ بِحَمۡدِ رَبِّكَ قَبۡلَ طُلُوعِ ٱلشَّمۡسِ وَقَبۡلَ ٱلۡغُرُوبِ

Basi vumilia kwa hayo wanayoyasema na mtakase Mola wako kwa kumhimidi kabla kuchomoza jua na kabla ya kuchwa



Capítulo: QAAF 

Verso : 40

وَمِنَ ٱلَّيۡلِ فَسَبِّحۡهُ وَأَدۡبَٰرَ ٱلسُّجُودِ

Na katika majira ya usiku pia mtakase yeye na baada ya kusujudu



Capítulo: QAAF 

Verso : 41

وَٱسۡتَمِعۡ يَوۡمَ يُنَادِ ٱلۡمُنَادِ مِن مَّكَانٖ قَرِيبٖ

Na sikiliza kwa makini Siku atakayonadi mwenye kunadi kutoka mahali pa karibu



Capítulo: QAAF 

Verso : 42

يَوۡمَ يَسۡمَعُونَ ٱلصَّيۡحَةَ بِٱلۡحَقِّۚ ذَٰلِكَ يَوۡمُ ٱلۡخُرُوجِ

Siku watakayosikia ukelele kwa haki. Hiyo ndio Siku ya kutoka (makaburini na kufufuka)



Capítulo: QAAF 

Verso : 43

إِنَّا نَحۡنُ نُحۡيِۦ وَنُمِيتُ وَإِلَيۡنَا ٱلۡمَصِيرُ

Hakika sisi ndiyo tunaohuisha na tunafisha na kwetu sisi tu ndiyo marejeo



Capítulo: QAAF 

Verso : 44

يَوۡمَ تَشَقَّقُ ٱلۡأَرۡضُ عَنۡهُمۡ سِرَاعٗاۚ ذَٰلِكَ حَشۡرٌ عَلَيۡنَا يَسِيرٞ

Siku itakayowapasukia ardhi (watoke) haraka haraka. Huo ndio mkusanyo, ni mwepesi kabisa kwetu



Capítulo: QAAF 

Verso : 45

نَّحۡنُ أَعۡلَمُ بِمَا يَقُولُونَۖ وَمَآ أَنتَ عَلَيۡهِم بِجَبَّارٖۖ فَذَكِّرۡ بِٱلۡقُرۡءَانِ مَن يَخَافُ وَعِيدِ

Sisi tunayajua wanayoyasema na wewe hukuwa mwenye kuwatenza nguvu, basi wakumbushe kwa Qur’ani yeyote mwenye kuogopa onyo langu



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 1

وَٱلذَّـٰرِيَٰتِ ذَرۡوٗا

Ninaapa kwa upepo (mkali) unaopeperusha (kila kitu)



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 2

فَٱلۡحَٰمِلَٰتِ وِقۡرٗا

Kisha (ninaapa) wa vile vibebavyo uzito (ikiwa ni pamoja na mawingu yanayobeba maji ya mvua)



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 3

فَٱلۡجَٰرِيَٰتِ يُسۡرٗا

Kisha (ninaapa) kwa (majahazi na vyombo vingine vizito vya majini) yenye kutembea (juu ya maji) kwa wepesi



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 4

فَٱلۡمُقَسِّمَٰتِ أَمۡرًا

Kisha (ninaapa) kwa (Malaika) wanaogawa mambo (majukumu waliyopewa na Allah)



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 5

إِنَّمَا تُوعَدُونَ لَصَادِقٞ

(Kwamba) Hakika ilivyo ni kwamba, mnachoahidiwa ni kweli kabisa



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 6

وَإِنَّ ٱلدِّينَ لَوَٰقِعٞ

Na Hakika, malipo (Siku ya Kiyama) kwa yakini kabisa yatakuwepo



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 7

وَٱلسَّمَآءِ ذَاتِ ٱلۡحُبُكِ

Nina apa kwa mbingu yenye njia



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 8

إِنَّكُمۡ لَفِي قَوۡلٖ مُّخۡتَلِفٖ

(Kwamba) Hakika, nyinyi mmo katika zinazotofautiana.[1]


1- - Mara mseme Muhammad ni muongo, mara mchawi n.k.


Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 9

يُؤۡفَكُ عَنۡهُ مَنۡ أُفِكَ

Huondolewa Humo Yule Anaye-ondolewa



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 10

قُتِلَ ٱلۡخَرَّـٰصُونَ

Wamelaaniwa Wakadhibishaji



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 11

ٱلَّذِينَ هُمۡ فِي غَمۡرَةٖ سَاهُونَ

Wale Ambao Wamezama Katika Ujinga Hali Ya Kujisahau



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 12

يَسۡـَٔلُونَ أَيَّانَ يَوۡمُ ٱلدِّينِ

Wanauliza Ni Lini Hiyo Siku Ya Malipo



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 13

يَوۡمَ هُمۡ عَلَى ٱلنَّارِ يُفۡتَنُونَ

Siku Hiyo Wao Katika Moto Watachomwa



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 14

ذُوقُواْ فِتۡنَتَكُمۡ هَٰذَا ٱلَّذِي كُنتُم بِهِۦ تَسۡتَعۡجِلُونَ

Onjeni Adhabu Yenu Hii Ambayo Mlikua Kwayo Mnaiharakisha



Capítulo: ADH-DHAARIYAAT 

Verso : 15

إِنَّ ٱلۡمُتَّقِينَ فِي جَنَّـٰتٖ وَعُيُونٍ

Hakika Ya Wachamungu Watakua Ndani Ya Pepo Na Chemchem