Hakika Mola wako anajua ya kuwa hakika wewe unakesha karibu na thuluthi mbili za usiku, na nusu yake, na thuluthi yake. Na baadhi ya watu walio pamoja nawe kadhaalika. Na Allah ndiye anaye ukadiria usiku na mchana. Anajua kuwa hamuwezi kuweka hesabu, basi amekusameheni. Basi someni kilicho chepesi katika Qurani. Anajua ya kuwa baadhi yenu watakuwa wagonjwa, na wengine wanasafiri katika ardhi wakitafuta fadhila za Allah, na wengine wanapigana katika Njia ya Allah. Kwa hivyo someni kilicho chepesi humo, na simamisheni Sala, na toeni Zaka, na mkopesheni Allah mkopo ulio mwema. Na kheri yoyote mnayo itanguliza kwa ajili ya nafsi zenu mtaikuta kwa Allah, nayo imekuwa bora zaidi, na ina thawabu kubwa sana. Na mtakeni msamaha Allah. Hakika Allah ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 1
يَـٰٓأَيُّهَا ٱلۡمُدَّثِّرُ
Ewe mwenye kujigubika
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 2
قُمۡ فَأَنذِرۡ
Simama uonye
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 3
وَرَبَّكَ فَكَبِّرۡ
Na Mola wako Mlezi mtukuze
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 4
وَثِيَابَكَ فَطَهِّرۡ
Na nguo zako zisafishe
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 5
وَٱلرُّجۡزَ فَٱهۡجُرۡ
Na (mambo) machafu yahame (yaache)
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 6
وَلَا تَمۡنُن تَسۡتَكۡثِرُ
Wala usitoe (usifanye hisani) kwa kutaraji kuzidishiwa (kupata kingi Zaidi)
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 7
وَلِرَبِّكَ فَٱصۡبِرۡ
Na kwa ajili ya Mola wako tu kuwa na subira (kuwa mvumilivu)
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 8
فَإِذَا نُقِرَ فِي ٱلنَّاقُورِ
Basi litakapopulizwa baragumu (Tarumbeta)
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 9
فَذَٰلِكَ يَوۡمَئِذٖ يَوۡمٌ عَسِيرٌ
Basi siku hiyo itakuwa ni siku ngumu sana
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 10
عَلَى ٱلۡكَٰفِرِينَ غَيۡرُ يَسِيرٖ
Kwa makafiri haitakuwa nyepesi
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 11
ذَرۡنِي وَمَنۡ خَلَقۡتُ وَحِيدٗا
Niache Mimi peke yangu na yule niliye muumba
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 12
وَجَعَلۡتُ لَهُۥ مَالٗا مَّمۡدُودٗا
Na nikamjaalia awe na mali nyingi
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 13
وَبَنِينَ شُهُودٗا
Na watoto wanao onekana
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 14
وَمَهَّدتُّ لَهُۥ تَمۡهِيدٗا
Na nikamtengenezea mambo vizuri kabisa
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 15
ثُمَّ يَطۡمَعُ أَنۡ أَزِيدَ
Kisha anatumai Nimuongezee!
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ALMUDDATH-THIR
Verso : 16
كَلَّآۖ إِنَّهُۥ كَانَ لِأٓيَٰتِنَا عَنِيدٗا
Hasha! Kwani hakika yeye alikuwa akizifanyia inadi (Na umpinzani) Aya zetu!