Ilipo wajia Haki kutoka kwetu walisema: Mbona hakupewa kama aliyo pewa Musa? Je! Kwani wao hawakuyakataa aliyo pewa Musa zamani? Walisema: Ni wachawi wawili wanasaidiana. Na wakasema: Hakika sisi tunawakataa wote
Na ikiwa hawakuitikii, basi jua kuwa wanafuata pumbao lao tu. Na nani aliye potea zaidi kumshinda anaye fuata pumbao lake bila ya uwongofu utokao kwa Mwenyezi Mungu. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu
Na hakika tulimpa Mussa Kitabu, lakini pakatokea khitilafu kati yake. Na lau kuwa halikutangulia neno la Mola wako Mlezi wangelihukumiwa. Na hakika wao wamo katika shaka yenye kuwatia wasiwasi
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 36
أَمۡ لَمۡ يُنَبَّأۡ بِمَا فِي صُحُفِ مُوسَىٰ
Au hawajaambiwa kwa ambayo yamo kwenye kitabu cha Mussa?
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 37
وَإِبۡرَٰهِيمَ ٱلَّذِي وَفَّىٰٓ
Na Ibraahim aliyetimiza (ahadi)
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 38
أَلَّا تَزِرُ وَازِرَةٞ وِزۡرَ أُخۡرَىٰ
Na kwamba mbebaji dhambi hatobeba mzigo wa mwengine
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 39
وَأَن لَّيۡسَ لِلۡإِنسَٰنِ إِلَّا مَا سَعَىٰ
Na kwamba Mtu hatopata malipo isipokuwa yale aliyoyafanyia juhudi
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 40
وَأَنَّ سَعۡيَهُۥ سَوۡفَ يُرَىٰ
Na kwamba juhudi yake itakuja kuonekana
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 41
ثُمَّ يُجۡزَىٰهُ ٱلۡجَزَآءَ ٱلۡأَوۡفَىٰ
Kisha atalipwa malipo yake kamilifu
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 42
وَأَنَّ إِلَىٰ رَبِّكَ ٱلۡمُنتَهَىٰ
Na hakika kwa bwana wako ndio marejeo
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 43
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَضۡحَكَ وَأَبۡكَىٰ
Na kwamba Yeye Ndiye Anayesababisha kwa Mtu kicheko (furaha) na kilio
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 44
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَمَاتَ وَأَحۡيَا
Na hakika yeye ndiye anafisha na ndiye anayehuisha
Na hakika yeye ameumba aina mbili ya viumbe Dume Na Jike
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 46
مِن نُّطۡفَةٍ إِذَا تُمۡنَىٰ
Kutokana na tone la manii linapomiminwa
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 47
وَأَنَّ عَلَيۡهِ ٱلنَّشۡأَةَ ٱلۡأُخۡرَىٰ
Na kwamba ni juu Yake uanzishaji mwengine (kufufua)
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 48
وَأَنَّهُۥ هُوَ أَغۡنَىٰ وَأَقۡنَىٰ
Na kwamba Yeye Ndiye Atoshelezaye na Akinaishaye
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 49
وَأَنَّهُۥ هُوَ رَبُّ ٱلشِّعۡرَىٰ
Na kwamba Yeye ndiye Mola wa nyota ya Ash-Shi’-raa (inayoabudiwa).[1]
1- - Ash-Shi’-raa:- Hii ni Nyota maarufu, na Allah ameihusisha kuitaja hapa, ijapokuwa yeye ni Mola wa kila kitu kwasababu hii Nyota ni katika zilizokuwa zikiabudiwa katika zama za Kijaahiliyya, kwahiyo Allah akabainisha kila chochote wanacho kiabudu Washirikina basi hicho kimeumbwa na Allah, na hakistahiki kuabudiwa.
Informar sobre un error
Copiar
Finalizado
Error
Compartir :
Capítulo:
ANNAJMI
Verso : 50
وَأَنَّهُۥٓ أَهۡلَكَ عَادًا ٱلۡأُولَىٰ
Na kwamba Yeye Ndiye Aliyeangamiza kina ‘Aad Mwanzo
Kwa yakini Tuliwapeleka Mitume Wetu kwa hoja zilizo wazi wazi, na Tukateremsha pamoja nao Kitabu na Mizani (shariy’ah) ili watu wasimamie kwa uadilifu. Na Tukateremsha chuma chenye nguvu nyingi na manufaa kwa watu, na ili Allah Ajue nani atakayeinusuru (Dini Yake) na Mtume Wake hali ya kuwa ni ghaibu. Hakika Allah ni Mwenye nguvu zote, Mwenye kushinda
Na hakika tulimpeleka Nuhu na Ibrahim na tukajaalia kwenye kizazi chao Mitume na Vitabu. Basi miongoni mwao kuna waliyoongoka na wengi kati yao mafasiki