وَإِذَا بُشِّرَ أَحَدُهُم بِٱلۡأُنثَىٰ ظَلَّ وَجۡهُهُۥ مُسۡوَدّٗا وَهُوَ كَظِيمٞ
Na pindi mmoja wao anapopewa habari ya (kuzaliwa mtoto) mwa-namke, uso wake hugeuka mweusi, nakujawa na huzuni mno
Compartir :
وَإِذَا بُشِّرَ أَحَدُهُم بِمَا ضَرَبَ لِلرَّحۡمَٰنِ مَثَلٗا ظَلَّ وَجۡهُهُۥ مُسۡوَدّٗا وَهُوَ كَظِيمٌ
Na anapo bashiriwa mmoja wao kwa yale aliyo mpigia mfano Allah, uso wake husawijika na hujaa hasira
وَإِذَا ٱلۡمَوۡءُۥدَةُ سُئِلَتۡ
Na mtoto wa kike aliyezikwa akiwa hai atakapoulizwa