Capítulo: ATTAUBA 

Verso : 30

وَقَالَتِ ٱلۡيَهُودُ عُزَيۡرٌ ٱبۡنُ ٱللَّهِ وَقَالَتِ ٱلنَّصَٰرَى ٱلۡمَسِيحُ ٱبۡنُ ٱللَّهِۖ ذَٰلِكَ قَوۡلُهُم بِأَفۡوَٰهِهِمۡۖ يُضَٰهِـُٔونَ قَوۡلَ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن قَبۡلُۚ قَٰتَلَهُمُ ٱللَّهُۖ أَنَّىٰ يُؤۡفَكُونَ

Na Wayahudi walisema: Uzeri ni Mwana wa Allah. Na Wanaswara walisema: Masihi ni Mwana wa Allah (Mwana wa Mungu). Hiyo ni kauli yao (waisemayo) kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya waliokufuru kabla yao. Allah amewalaani. Inakuwaje wanapotoshwa?